yanga nomaaaaaaaaaaaaaa
leo katika uwanja wa taifa YANGA amfunga COASTAL UNION magoli manane kwa kalai (8-0) na kuendeleza wimbi la ushindi katika ligi kuu soka Tanzania bara
AZAM YATOKA SARE LEO
Leo katika uwanja wa CHAMAZI MBANDE (azam complex) wametoka droo ya goli moja kwa moja(1-1) na timu ya MBEYA CITY na kuendelea kusalia na pointi zao 37 baada ya mchezo wa leo uku YANGA akiendelea kukwea kileleni
No comments:
Post a Comment