MESS NA CHRISTIANO RONALDO KUCHEZA TIMU MOJA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwHUdMYfaGhM7Z0KUAOLJF5YejszEKbwvpK3c68HZI97KowYzM8__Sr7If-7vDnVwmOVyX-tnLm90y0Yc2DOhtLEi86ZAbQVTI3hODinJ1eRHhh1KDePHmE92quNZUCtc9-LKbZ7sYvy8/s1600/mundo-deportivo.jpg)
mundo derportive mtandao unasema kuwa ndoto za mastaa hawa wawili kuchezea timu moja zinaweza kufanikiwa kwa kuandaa mechi ya mastaa kutoka bara ulaya kusini
wachezaji wengine ni kama slatan ibrahimovich ,Gareth bale, neymar, and Edson cavan waweza kujumuishwa kwenye kikosi cha ulaya kusini
Wachezaji kama Wayne Rooney, Angel de Maria, Sergio kun Arguero, Alexis sanches, na Eden Hazard pamoja na wachezaji nyota wa bayern munich waweza kujumuishwa kwenye kikosi cha ulaya kaskazini
No comments:
Post a Comment